
Lewis Hamilton (MCLAREN) Jumapili hii alijishindia British Grand Prix katika uwanja wa nyumbani Silverstone pamoja na hali ya mvua iliyokuwa ikiendelea na hivyo kuwa juu katika msimamo huo wa formula one katika mashindano hayo alifuatiwa na Nick Heidfeld (BMW )na watatu ni Ruben Barrichello (HONDA) , kwa matokeo hayo anaongoza msimamo akiwa na pointi 48 sawa na
Felipe Massa (Ferrari), Kimi Räikkönen
Felipe Massa (Ferrari), Kimi Räikkönen
No comments:
Post a Comment