Sunday, 27 July 2008

KIGOLI AINGIA MTINI

Kigoli cha jangwani kikimkimbia mnyama mkali

Klabu ya yanga leo iliingia mtini katika mechi ya kutafuta mshindi wa tatu kombe la CECAFA kagame cup hivyo mahasimu wao Simba hivyo basi simba walijinyakulia nafasi hiyo ya tatu kwa bao 3 na pointi 3, lakini bado ni aibu hamna mcheza kwao hata mmoja fainali.

No comments:

karibuni wote ndani ya blog hii kwa michezo mbalimbali toka kila kona ya dunia