Klabu ya yanga leo iliingia mtini katika mechi ya kutafuta mshindi wa tatu kombe la CECAFA kagame cup hivyo mahasimu wao Simba hivyo basi simba walijinyakulia nafasi hiyo ya tatu kwa bao 3 na pointi 3, lakini bado ni aibu hamna mcheza kwao hata mmoja fainali.
Sunday, 27 July 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
karibuni wote ndani ya blog hii kwa michezo mbalimbali toka kila kona ya dunia
No comments:
Post a Comment