Saturday, 26 July 2008

MARA NYINGINE TENA

Lewis Hamilton akishangilia ushindi

Lewis Hamilton aliwanyuka Heikki Kovalainen, Felipe Massa na Nelson Piquet katika dakika za mwisho na kufanikiwa kujisindia German Grand Prix huko Hockenheim Ujermani 21.07. Huu ni ushindi wake wa pili mfululizo na sasa anaongoza kwa pointi nne mbele ya Massa . Piquet alimaliza akiwa wa pili hii ni podium yake ya kwanza , Massa akiwa wa tatu wakati Kimi Raikkonen alikuwa wa sita

No comments:

karibuni wote ndani ya blog hii kwa michezo mbalimbali toka kila kona ya dunia