Lewis Hamilton aliwanyuka Heikki Kovalainen, Felipe Massa na Nelson Piquet katika dakika za mwisho na kufanikiwa kujisindia German Grand Prix huko Hockenheim Ujermani 21.07. Huu ni ushindi wake wa pili mfululizo na sasa anaongoza kwa pointi nne mbele ya Massa . Piquet alimaliza akiwa wa pili hii ni podium yake ya kwanza , Massa akiwa wa tatu wakati Kimi Raikkonen alikuwa wa sita
Saturday, 26 July 2008
MARA NYINGINE TENA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
karibuni wote ndani ya blog hii kwa michezo mbalimbali toka kila kona ya dunia
No comments:
Post a Comment