Shirikisho la soka duniani FIFA limetangaza timu bora duniani na katika msimamo huo hispania kwa mara ya kwanza wamesimama katika namba moja. kma msimamo unavyoonyesha hapo chini nafasi nzao na kwenye mabano ni nafasi walizokuwa awali:
1. (4) Hispania, 2. (3) Italia, 3. (5) ujerumani, 4. (2) Brazili, 5. (10) Netherlands, 6. (1) Agentina, 7. (15) Croatia' 8. (6) Ucheki, 9. (11) Ureno, 10. (7) Ufaransa, 11. (24) Urusi, 12. (12) Romania, 13. (13) Cameruni, 14. (20) Uturuki, 15. (9) Uingereza, 16. (17) Skotlandi, 17. (18) Bulgaria, 18. (8) Ugiriki, 19. (14) Mexiko, 20 (16) Ghana, timu iliyoingia katika 20 bora ni Urusi na timu iliyotoka ni Colombia, Africa ya mashariki ni Kenya 92 nafasi 23 juu, Uganda 97 nafasi 2 juu, Tanzania ni115 nafasi 14 chini.
Wednesday, 2 July 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
karibuni wote ndani ya blog hii kwa michezo mbalimbali toka kila kona ya dunia
No comments:
Post a Comment