Kikosi cha vijana wa jangwani
Timu ya Yanga jana iliyojitosa katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Kagame dhidi ya Tusker ya Kenya iliyofanyika Uwanja Mpya, Dar es Salaam jana , ilipigwa kimoko tu bila majibu 1-0. Hivyo sasa Simba na Yanga watakutana katika mchezo mshindi wa tatu ambaye atajinyakulia zaidi ya Sh milioni 12 , katika mchezo huo ambao utakuwa wa utangulizi kabla ya fainali ambayo itaikutanisha URA ya Uganda na Tusker ya Kenya, mshindi wa pili atachukua Sh milioni 23 na ushee na bingwa ataondoka na Sh milioni 34 hivi. Ni aibu hamna timu ya wenyeji fainali nahii inaweza kuzidi kutushusha katika msimamo wa soka duniani. AIBU
No comments:
Post a Comment