Timu ya Simba alhamisi hii iliyaaga mashindano ya baada ya kuchapwa 1 - 0 , na URA ya Uganda kama haitoshi kuonyesha kuwa mnyama huyo amekuwa wa kibisa sasa wakampa apige penalti ambayo ingewawezesha kurudi katika gemu mchezaji aliyetua siku si nyingi kisa ni mnigeria Izechukwu Emeh naye akamwaga hivyo mnyama nje.
Saturday, 26 July 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
karibuni wote ndani ya blog hii kwa michezo mbalimbali toka kila kona ya dunia
No comments:
Post a Comment