Saturday, 26 July 2008

MNYAMA ANG'OLEWA MENO

Kikosi cha wekundu wa msimbazi

Timu ya Simba alhamisi hii iliyaaga mashindano ya baada ya kuchapwa 1 - 0 , na URA ya Uganda kama haitoshi kuonyesha kuwa mnyama huyo amekuwa wa kibisa sasa wakampa apige penalti ambayo ingewawezesha kurudi katika gemu mchezaji aliyetua siku si nyingi kisa ni mnigeria Izechukwu Emeh naye akamwaga hivyo mnyama nje.





No comments:

karibuni wote ndani ya blog hii kwa michezo mbalimbali toka kila kona ya dunia