
Hii ilikuwa Jumapili tarehe 29.06.08 ndani ya Diamond jubilee ambapo mbongo japhet Kaseba ailshinda pambano hilo na kutetea ubingwa wa Dunia wa mchezo wa Kick Boxer, picha chini akiwa na mkanda huo wa ubingwa wa dunia unaotambuliwa na Chama cha Kickboxing Ulimwenguni (WKL), mara baada ya kumdunda mpinzani wake, Ricky Agayas kutoka Ufilipino katika raundi ya pili, katika ukumbi wa Diamond, Jubilee, jijini Dar pamoja nae ni baba yake Kaseba Matete kulia pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abass Kandoro.

No comments:
Post a Comment