
Katika game hiyo Dwyane Wade, Carmelo Anthony na Michael Redd swalichoma vikapu 20 kila mmoja wao kuwaadhibu Wakanada hapo Las Vegas. mpaka mapumziko walikuwa wakiongoza kwa 61-38 Kobe Bryant aliongeza pointi 15 , Deron Williams 14 na Chris Paul alichoma 11 na assist 8 , wakati wakanad a aliyejitahidi kidoga alikuwa Jermaine Anderson aliyeambulia pointi 18 pointshivyo hadi mwisho wa mchezo usa walishinda 120 - 65 .
Hii ilikuwa ni moja kati ya mechi zao za matayarisho kwa ajili ya olimpiki naona mwaka huu wana kikosi cha ukweli .
2 comments:
Your blog is very creative, when people read this it widens our imaginations.
Hi there!
Post a Comment