Saturday, 26 July 2008

WAKANADA HOI KWA USA

Timu ya taifa ya mpira wa kikapu ya marekani wakishangilia ushindi dhidi ya Kanada mwenye nyeusi ni mzee mzima Lebron james ambaye ni majeruhi hivyo pengo lake anaziba Dwayne Wade


Katika game hiyo Dwyane Wade, Carmelo Anthony na Michael Redd swalichoma vikapu 20 kila mmoja wao kuwaadhibu Wakanada hapo Las Vegas. mpaka mapumziko walikuwa wakiongoza kwa 61-38 Kobe Bryant aliongeza pointi 15 , Deron Williams 14 na Chris Paul alichoma 11 na assist 8 , wakati wakanad a aliyejitahidi kidoga alikuwa Jermaine Anderson aliyeambulia pointi 18 pointshivyo hadi mwisho wa mchezo usa walishinda 120 - 65 .


Hii ilikuwa ni moja kati ya mechi zao za matayarisho kwa ajili ya olimpiki naona mwaka huu wana kikosi cha ukweli .

2 comments:

Anonymous said...

Your blog is very creative, when people read this it widens our imaginations.

Earth blog said...

Hi there!

karibuni wote ndani ya blog hii kwa michezo mbalimbali toka kila kona ya dunia