**********TANZANIA**************
Timu ya Taifa ya Cameroon Leo ilifanikiwa kutufunga kwa mbinde 2 - 1 katika mchezo uliofanyika kwao, baada ya Mchezaji wa kutumainiwa Samwel Etoo kufunga mabao yote mawili ,wakati ambapo bao la kufutia machozi la staa lilifungwa na Dan Mrwanda bao lililokuwa ni la ufundi wa hali ya juu.
No comments:
Post a Comment