Saturday, 21 June 2008

ETOO AWA MWIBA KWA STAZ

**********TANZANIA**************



Timu ya Taifa ya Cameroon Leo ilifanikiwa kutufunga kwa mbinde 2 - 1 katika mchezo uliofanyika kwao, baada ya Mchezaji wa kutumainiwa Samwel Etoo kufunga mabao yote mawili ,wakati ambapo bao la kufutia machozi la staa lilifungwa na Dan Mrwanda bao lililokuwa ni la ufundi wa hali ya juu.

No comments:

karibuni wote ndani ya blog hii kwa michezo mbalimbali toka kila kona ya dunia