Friday, 20 June 2008

UTURUKI YASHINDA KWA PENALTI

Waturuki wakishangilia ushindi wao wa (3 -1) kwa njia ya penalti baada ya kumaliza muda wa nyongeza wakiwa sare kwa goli 1-1 dhidi ya Croatia timu ambayo ilikuwa ikitegemewa kufanya vizuri katika mashindano haya ila naona pengo la mchezaji wao wa kutegemewa Eduardo De Silva wa Arsenal lilikuwa ni kubwa sana , Sasa Uturuki itakutana na Ujerumani katika nusu fainali .

No comments:

karibuni wote ndani ya blog hii kwa michezo mbalimbali toka kila kona ya dunia