Waturuki wakishangilia ushindi wao wa (3 -1) kwa njia ya penalti baada ya kumaliza muda wa nyongeza wakiwa sare kwa goli 1-1 dhidi ya Croatia timu ambayo ilikuwa ikitegemewa kufanya vizuri katika mashindano haya ila naona pengo la mchezaji wao wa kutegemewa Eduardo De Silva wa Arsenal lilikuwa ni kubwa sana , Sasa Uturuki itakutana na Ujerumani katika nusu fainali .
No comments:
Post a Comment