
Cesc Fabregas anajitayarisha kwa nusu fainali baada ya kuisaidia timu yake kuishinda italia kwa mara ya kwanza katika mashindano tangu 1920, alimalizia penati yake kiufundi kuipa timu yake ushindi wa magoli 4 – 2 kwa penati baada ya timu hizo kumaliza muda wa nyongeza bila kufungana magoli na wenigne waliofunga kwa upande waSpain ni David Villa, Cazorla, Senna. Italia ni Fabio Grosso na Camoranesi... waliokosa niDaniele De Rossi na Di Natale.kwa ushindi huu timu ya spain imeondoa mkosi wake wa kufungwa tarehe za 22 june maana likuwa kama desturi yao 22.june.86 kombe la dunia walifungwa kwa penalty 5 -4 baada ya sare ya 1-1 baada ya kutoka 1 -1 dhidi ya Belgium, bao la spain lilifungwa na Juan Antonio Señor na Jan Ceulemans aliwafungia Belgium,penalti za Belgium zilifungwa na NicoClaesen, EnzoScifo, HugoBroos, PatrickVervoort na Leo Van Der Elst waliofunga kwa Spain ni Juan AntonioSeñor , Chendo, EmilioButragueño , Víctor Munoz na Eloy ndiye aliyemwaga,a lfu tena ikaja 1996 kombe la ulaya wakapigwa na England kwa ndani ya Wembley kwa penati baada ya kutoka suluhu penalti za Uingereza zilifungwa na Mtaalam Allan Shearer, David Plat, Stuart Pearce Paul Gasgoine gaza Hispania walifungiwa na Guillermo Amor, Alberto Belsue wakati waliomwaga ni Fernando Hiero, Miguel Ángel Nadal kama kawa 2002 tena wakapigwa na Korea ya kusini kwa penati 5 - 3 baada ya kutokufungana penati za wakorea zilifungwa na Hwang, Park ,Seol, Ahn na Hong wakati aWaspain walifungiwa na Fernando Hierro, Reuben Baraja na Xavi wakati Joaquin alikosa, Sasa picha linaanza kati ya Spain na final aliyebaki ni Urusi na kocha wa Urusi Guus Hidink ndiye aliyekuwa kocha wa Korea Kusini ilipoikung’uta Spain kumbuka, maana juzi tu ametoka kuiadhibu timuyake ya zamani ambayo wengi tulikuwa tukiipa nafasi kubwa Holand, tutaonana nusu fainali.
No comments:
Post a Comment