Sunday, 22 June 2008

Khan bado bingwa


Bingwa wa Commonwealth uzito mwepesi Amir Khan jana alipita tena katika mtihani mgumu baada ya kufanikiwa kumshinda Michael Gomez katika raundi ya 5 ya mchezo huo, pichani juu Amir khan akisherehekea ushindi wake.

No comments:

karibuni wote ndani ya blog hii kwa michezo mbalimbali toka kila kona ya dunia