Sunday, 22 June 2008

MOTO GP 125cc


Mutoto wa kiingereza Scott Redding leo amekuwa muingereza wa kwanza tangu 1986 kushinda mashindano ya pikipiki yanayoitwa Moto Gp 125cc katika uwanja wake wa nyumbani, akiwa na nashine yake ya Honda 125cc, alishinda kwa sekunde 5.3 baada yakuwa wa pili kwa muda mrefu wa mashindano hayo. Kijana huyo pia ameweka record kuwa mshindi akiwa na umri mdogo wa miaka 15 na siku 170.

No comments:

karibuni wote ndani ya blog hii kwa michezo mbalimbali toka kila kona ya dunia