Saturday, 21 June 2008

URUSI YATINGA NUSU FAINALI


Timu ya taifa ya Urusi imekuwa ya tatu kuingia katika hatua ya nusu fainali ya kombe la ulaya baada ya kuifunga timu ya Uholanzi kwa magoli 3 - 1, baada ya Dmitri Torbinski na Andrei Arshavin kunyakua goli moja moja katika dakika 8 za mwisho baada ya matokeo kuwa 1 -1, katika dakika 90 za mwanzo kabla ya muda wa nyengeza.

No comments:

karibuni wote ndani ya blog hii kwa michezo mbalimbali toka kila kona ya dunia