
Timu ya taifa ya Urusi imekuwa ya tatu kuingia katika hatua ya nusu fainali ya kombe la ulaya baada ya kuifunga timu ya Uholanzi kwa magoli 3 - 1, baada ya Dmitri Torbinski na Andrei Arshavin kunyakua goli moja moja katika dakika 8 za mwisho baada ya matokeo kuwa 1 -1, katika dakika 90 za mwanzo kabla ya muda wa nyengeza.
No comments:
Post a Comment