Sunday, 22 June 2008

FORMULA ONE


Filipe Massa ameshinda French Grand Prix huko Magny-Cours akifuatiwa na Kimi Raikkonen kuhakikisha timu yao ya ferari inajishindia namba moja na mbili, ambapo Jarno Trulli wa Toyota alijishindia nafasi ya tatu podium ya kwanza kwake msimu huu na ya kwanza kwa toyota tangu 2005, wakati ambapo Lewis Hamilton aliyeanza mashindano hayo katika nafasi ya 10 kama penalti kwa kumgonga kimi kizembe katika Canada GP alimaliza akiwa wa wa 11.

No comments:

karibuni wote ndani ya blog hii kwa michezo mbalimbali toka kila kona ya dunia