Sunday, 29 June 2008

SPAIN BINGWA

Wachezaji wa Spain wakishangilia ubingwa wao baada ya miaka 44 bila ya kombe lolote, hii ni baada ya kushinda bao 1 - 0 dhidi ya ujerumani, goli hilo la pekee lilifungwa na Fernando Toress.


Mwali ameenda spain.

1 comment:

Juness said...

you have a nice blog
this is my blog
www.pronet.canalblog.com

karibuni wote ndani ya blog hii kwa michezo mbalimbali toka kila kona ya dunia